Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6924 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhasibu aibuka mshindi wa Nyumba kupitia Promosheni ya Airtel Yatosha

Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mbando akizungumza wakati wa kuchezesha droo ya kusaka mshindi wa nyumba wa kwanza kupitia Promosheni ya Airtel Yatosha. Kushoto ni Msimamizi wa Bodi ya Michezo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TACAIDS yatoa takwimu za UKIMWI, mkoa wa Njombe unaongoza ukifuatiwa na Iringa

TUME ya Kudhibiti UKIMWI nchini (TACAIDS) imesema mkoa wa Njombe unaongoza kwa kuwa na maambukizi makubwa ya Virusi vya UKIMWI kwa asilimia 14.8 ikifuatiwa na Iringa kwa asilimia 9.1.Mkoa wa Mbeya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA MBALIMBALI ZA RIHANNA KATIKA TAMASHA LA CROP OVER 2013!

Taswira juu na chini zinamuonesha Mwanamuziki Robyn Rihanna Fenty 'Rihanna' akijiachia na ndugu, jamaa na marafiki katika tamasha la kila mwaka la 'Crop Over Carnival' lililofanyika nyumbani kwao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom Yafuturisha Pemba

 Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim akizungumzia kampeni ya Pamoja na Vodacom namna inavyotekelezwa wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa kuandaa futari na kutoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA WAWAKA MOTO ASUBUHI HII

Moto mkubwa unaripotiwa kuzuka asubuhi hii katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyetta (JKIA) jijini Nairobi.Chanzo cha moto huo bado hakijatambulika na juhudi za kuuzima zinaendelea, ambapo...

View Article


Video:Moto mkubwa wateketeza Jomo Kenyatta International Airport

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA IDD MOSI DAR LIVE: WASANII, MABONDIA WALONGA NA WANAHABARI

Meneja wa Matukio wa Dar Live, Abdallah Mrisho (wa pili kulia) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kuhusu burudani mbalimbali zitakazokuwepo Dar Live sikukuu ya Idd Mosi.  Mwanamuziki H - Baba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FEZA KESSY NAYE AONDOLEWA BIG BROTHER 'THE CHASE'

Feza KessyMTANZANIA pekee aliyekuwa amebaki katika mjengo wa Big Brother Africa 'The Chase', Feza Kessy naye ameondolewa katika jumba hilo. Feza ametolewa katika shindano hilo akiwa mshiriki wa 20...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Flaviana Matata aendelea kuitoa kimasomaso Tanzania, Afrika na Kimataifa

Na Mwandishi WetuNYOTA ya mwanamitindo wa kimataifa wa Tanzania, Flaviana Matata amezidi kung’ara baada ya kuingia katika orodha ya wanamitindo saba bora kwa upande kipato.Kwa mujibu wa gazeti la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PONDA ALAZWA MUHIMBILI- POLISI WATOA TAMKO

 Sehemu ya kidonda katika bega la Sheikh Ponda baada ya kushonwa nyuzi.  Katibu wa Jumuiya za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda, akiwa katika Wodi ya Hospitali ya Taifa Muhimbili akitibia jeraha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKUTANA NA BALOZI WA CANADA NA MKURUGENZI WA TAASISI YA NDI YA MAREKANI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsindikizaa Balozi wa Caanada hapa nchini, Alexandre Leveque,  baada ya mazungumzo  yao, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutoka Gazeti la DailyMirror La Uingereza:Zanzibar acid attack: Sheikh Issa...

in hospital: Muslim cleric Sheikh Issa PondaPresident Jakaya Kikwete visits the two British nationals who were attacked with acid--- A hate preacher hunted over the acid attack on two British girls was...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willibrod Slaa, Kuwasili Mkoani Tanga Kuzindua...

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa--- KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, Alhamisi wiki hii anatarajiwa kuwasili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Polisi Dar latangaza dau la Sh100 milioni kwa mtu atakayewezesha...

 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova-- Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetangaza kutoa donge nono la Shilingi milioni 100/= kwa mtu yeyote atakayewezesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA ZA MAZISHI YA MAREHEMU ERASTO MSUYA

 Wakati unaingia nyumbani kwa bilionea Erasto Msuya hili ndio bango lililokua limewekwa. Hapa utaratibu wa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Maremu Erasto Msuya. Hii ndio nyumba ya milele ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAWAVUA UANACHAMA, UONGOZI MADIWANI WAKE WANANE BUKOBA,

BUKOBA, TanzaniaChama Cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuwatolea uvivu kwa kuwavua uanachama na uongozi madiwani wake wanane katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera.Imeelezwa kwamba hatua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT.GHARIB BILAL AKABIDHIWA KATIBA NA VIONGOZI WA SHIMUTA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mlezi wa Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi Tanzania, (SHIMUTA) Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRAFIKI FEKI ALIYEKAMATWA AKILA VICHWA TABATA JIJINI DAR ES SALAAM

 Afande feki  akiwa Kituo cha Polisi StakishariAskari Bandia wa Kikosi cha Usalama Barabarani aliyekamatwa leo mchana maeneo ya Kinyelezi Mnara, Tabata jijini Dar es Salaam akiwa ndani ya sare zake,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKUMBUSHO WAFUZU MAFUNZO YA ULINZI SHIRIKISHI

  Mhitimu wa mafunzo ya Ulinzi shirikishi kata ya Makumbusho Wilaya ya Kinondoni ,Ally Vumbi(kushoto)akipiga saluti kwa Mkuu wa Wilaya, Jordan Rugimbana mara baada ya kutunukiwa cheti baada ya kumaliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Jakaya Kikwete amteua Adam Mayingu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa...

 Adam Mayingu--Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Adam H. Mayingu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF).Taarifa...

View Article
Browsing all 6924 articles
Browse latest View live