TANZANIA YAFANYA VIZURI KATIKA NYANJA YA UWEKEZAJI - RIPOTI YA UWEKEZAJI...
Bi. Kairuki amesema Tanzania imeweza kupata Uwekezaji mara dufu katika maeneo ya Mafuta na Utafiti wa Gesi Asilia katika kusukuma pato la taifa kuongeza ajira na kupambana na umaskini.Ameongeza...
View ArticleWANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO- 2013
Muhula wa kwanza kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano kuanzia mwaka huu 2013 itaanza mwezi Julai.Wanafunzi wamepangwa katika shule zenye miundombinu na walimu kwa masomo husika.Aidha, kama baadae...
View ArticleUjumbe wa Rais wa Sierra Leone watembelea Shirika la Nyumba la Taifa
Meya wa Jiji la Freetown, Sierra Leone, Mheshimiwa Sam Franklyn Bababode Gibson (kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii, Susan Omari (kulia), wakati ujumbe wake...
View ArticleMTEJA WA AIRTEL TUMIA AIRTEL YATOSHA JUMBA HILOOO
Mwisho wa mwezi mwendo wa ku relax, kodi ya Nyumba hakuna tena, tumia AIRTEL YATOSHA ushinde Jumba kama hili na hii ni sehemu ya mbele tuu,Kelele za wapangaji tupa kuleee kwa sababu airtel YATOSHA ndo...
View ArticleRAIS KIKWETE AFUNGA KONGAMANO LA KUJADILI AMANI YA TAIFA
Mwenyekiti wa Taasisi ya Tanzania Centre for Democracy(TCD) ambaye pia ni kiongozi wa chama cha NCCR Mageuzi Mhe. James Mbatia akimkabidhi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete maazimio ya Kongamano la...
View ArticleMASANJA- MKANDAMIZAJI, SHILOLE WATEMBELEA NEW YORK CITY!!
Msanii Shilole akipata kitu inaitwa Mbwa wa moto “Hot Dog” wakati alipokua New York City akisubili boti kuelekea kuliko statue of Liberty akiwa ameambatana na msanii mwenzake Masanja (hayupo pichani)...
View ArticleZIARA YA WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA MJI MDOGO WA MAKAMBAKO
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na wanawake wa Makambako baada ya kuwasili kwenye mji mdogo huo akiambatana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika ziara ya mkoa wa Njombe Julai...
View ArticleBALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI MAREKANI LIBERATA MULAMULA AWASILI WASHINGTON, DC
Balozi Liberata Mulamula akishuka kwenye gari Bethesda, Maryland wakati akitokea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia Ijumaa July 12, 2013. Mhe, Mulamula ndiye Balozi wa...
View ArticleRais Kikwete Atunuku Kamisheni Maafisa wa Jeshi la Wananchi wa...
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiingia katika uwanja wa gwaride wa Chuo Cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli, Arusha, tayari kwa kutunuku kamisheni kwa...
View ArticleRedd's Miss Temeke
MREMBO atakayetwaa taji la Redds Miss Temeke 2013, linalofanyika Ijumaa Julai 5, mwaka huu ataondoka na zawadi za jumla ya Sh. Milioni 3,250,000 ikiwa ni zawadi kubwa zaidi kutolewa katika mashindano...
View ArticleRais Jakaya Kikwete Akutana na Uongozi wa Benki ya Maendeleo ya TIB
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya Maendeleo ya TIB, Bw Peter Noni, Ikulu jijini Dar es salaam Julai 13, 2013. Bw. Noni na ujumbe wake walifika Ikulu...
View ArticleChadema Yashinda Kwa Kishindo Kata Zake Nne Kwenye Uchaguzi Mdogo wa Udiwani...
Wafuasi wa Chadema Wakishangilia Ushindi--MATOKEO NI KAMA IFWATAVYOChama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), `kimefunika' katika uchaguzi mdogo wa madiwani uliofanyika kwenye kata nne za Jimbo la...
View ArticleRAIS KIKWETE ASHIRIKI SHUGHULI YA UTOAJI VIFAA VYA KUONGEZA USIKIVU KWA...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na mmoja wa wanafunzi wa shule ya walemavu wa kusikia ya Buguruni akiwa na mwanzilishi na mkuu wa Taasisi ya Starkey Hearing Foundation Bw. Bill Austin...
View ArticleWANAJESHI WALIOUWAWA DAFUR KATIKA SHAMBULIO KUREJESHWA NCHINI
The African Union – United Nations Mission in Darfur (UNAMID), held a memorial ceremony, in Nyala, the capital of South Darfur, to honor the seven fallen peacekeepers who lost their lives in the 13...
View ArticleMwonekano wa leo wa nyumba za gharama nafuu NHC Kibada
Nyumba hizo za NHC Kibada, Kigamboni zijulikanazo kwa jina lake la Mradi kama Kigamboni Housing Estate zitakavyoonekana baada ya kumalizika. Picha ya mchoro wa kompyuta inayoonyesha namna ambavyo mji...
View ArticleMbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema na Wabunge Wengine Wanne Wa...
Wafuasi wa Chadema wakiandamana kuelekea katika ofisi za Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kwenda kumpongeza kwa kusimamia vizuri uchaguzi wa Madiwani.Wafuasi wa CHADEMA wakishangilia ushindi katika...
View ArticleRais Kikwete azindua Rasmi huduma mpya ya Benki ya Posta iitwayo TPB POPOTE...
Mgeni rasmi, Rais Jakaya Kikwete akizindua huduma mpya ya Benki ya Posta iitwayo TPB POPOTE mapema leo mchana kwenye hotel ya Serena jijini Dar ,hafla hiyo imewakutanisha wadau mbalimbali wa mambo ya...
View ArticleSHIRIKA LA UMEME NCHINI(TANESCO) LASAINI MKATABA WA NISHATI YA UMEME NA...
Mkurugenzi wa Tanesco, Felchesmi Mramba akisaini hati na Mwenyekiti wa Kampuni ya Uwekezaji ya CPI, Lu Quizhou baada ya kuingia mkataba wa uwekezaji wa nishati ya Umeme jijini Dar es...
View ArticleCPA Tawi la Tanzania yaanza maandalizi mkutano wa mwakani
Mwenyekiti wa Chama cha Mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola (CPA) Tawi la Tanzania Mhe. Mussa Zungu Azzan akifungua kikao cha Kamati tandaji pamoja na Sekretarieti jijini Dar es Salaam leo...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO ABUJA NIGERIA, AONDOKA LEO...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na baadhi ya Watanzani ya waishio mjini Abuja, wakati alipokutana nao katika Makazi ya Ubalozi wa Tanzania...
View Article