Jeshi la polisi Nzega Tabora lilivyomnasa mbunge wa jimbo la Nzega-CCM...
  Awali mbunge wa Nzega Dkt Hamis Kigwangala akizungumza na wachimbaji wadogo wa madini hao katika kijiji cha Nzega Ndogo kabla ya maandamano  Maandamano baada ya mkutano wa Dkt Kigwangala kuelekea...
View ArticleZiara ya Rais Jakaya Kikwete Mkoa wa Tanga, Azindua Mradi wa Maji Mkata
 Chipukizi wa Mkoa wa Tanga wakimkaribisha kwa maua Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika tarafa ya Mkata, wilayani Handeni mkoa wa Tanga, Rais Kikwete yupo Mkoani Tanga...
View ArticleTAARIFA KWA UMMA KUHUSU UUZWAJI WA NYUMBA ZA MRADI WA MWONGOZO HOUSING...
Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa, David Misonge Shambwe (katikati) akizungumza kwenye uzinduzi wa nyumba za kuuza za makazi za Mwongozo zilizopo jijini Dar es Salaam leo...
View ArticleMkuu wa Mkoa wa Mara aanguka ghafla na kufariki dunia!
Habari za uhakika zilizopatikana hivi punde ni kwamba mkuu wa mkoa wa mara John Tupa ameanguka ghafla na kutokwa na povu Wakati akitoka nje ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya (DC) Tarime na kuelekea kupanda...
View ArticleTANZANIA NA CHINA ZINAJIVUNIA MIAKA 50 YA MAHUSIANO YA KIDIPLOMASIA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. John Haule akielezea mafanikio mbalimbali ambayo Serikali ya Tanzania na Jamhuri ya Watu wa China zinajivunia kuyapata katika...
View ArticleRAIS DKT. JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA YA NJE WA UJERUMANI...
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akimkaribisha Ikulu kwa mazungumzo Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Mheshimiwa Dkt. Frank-Walter Steinmeier. Waziri huyo aliwasili nchini tarehe 25.3.2014 kwa ziara ya...
View ArticleWANAKIBINDU WAMSIHI RIDHIWANI AKIPATA UBUNGE ANZA NA MIUNDOMBINU YA BARABARA...
Katibu wa CCM Mkoa wa Mtwara Ndugu Shaibu Akwilombe akizungumza na wananchi wa kijiji cha kwa Msanja kata ya Kibindu katika jimbo la Chalinze wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji...
View ArticleRais Jakaya Kikweye Azindua Mradi wa Maji katika kijiji cha Kwemhosi wilayani...
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtwisha ndoo ya maji Bibi Rukia Bakari muda mfupi baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji cha Kwemhosi wilayani Muheza Mkoa wa Tanga. Mradi huo utavinufaisha...
View ArticleMATUKIO BUNGE MAALUM LA KATIBA
Mjumbe wa Bunge Maalum Mwigulu Mchemba akichangia Bungeni mjini Dodoma Machi 27, 2014. Picha  na Ofisi ya Waziri MkuuMjube wa Bunge Maalaum Moses Machari akichangia Bungeni Machi 27, 2014. (Picha na...
View ArticleMAELFU WAJITOKEZA KUUGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN...
 MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA JOHN GABRIEL TUPA UKITOLEWA NJE YA MAKAZI YAKE WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI KWA ALIYEKUWA MKUU WA MKOAKUTOKA KUSHOTO KAIMU KAMANDA WA POLISI MKOA WA MARA POUL...
View ArticleRIDHIWANI KIKWETE APIGA KAMPENI VIJIJI VYA CHAHUA NA MATULI CHALINZE
Mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia chama cha Mapinduzi Ndugu Ridhiwani Kikwete akisalimiana na wananchi wakati alipowasili katika kijiji cha Matuli kata ya Chalinze kwa ajili ya mkutano wa...
View ArticleKATIBU MKUU WA MPLA AWASILI DAR ES SALAAM KUHUDHURIA MKUTANO WA VYAMA VYA...
Katibu Mkuu wa Chama kinachoongoza Angola MPLA comrade Julio Mateus Paulo amewasili Dar es Salaam jana kuhudhuria Mkutano wa vyama vya Kisoshalisti ulimwenguni unaoanza leo katika ukumbi wa Mikutano wa...
View ArticleJENERETA ZA KUFUA UMEME WA GESI ZAANZA KUFUNGWA KINYEREZI
Meneja Mkazi wa Kampuni ya Jacobsen Elektro, Shaun Moore (kushoto), akizungumza na Katibu mkuu kiongozi BaloziOmbeni Sefue (mwenye shati la kitenge), kuhusu ufungaji wa mashine za kufua umeme wa gesi...
View ArticleBREAKING NEWZZZ : TRENI YA MIZIGO YAPATA AJALI ENEO LA GODEGODE JIJINI DODOMA.
Picha juu haihusiani kwa lolote na ajali iliyotokea.Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba treni ya mizigo imepata ajali eneo la GodeGode mkoani Dodoma. Mtu mmoja anasadikiwa kufa huku wengine...
View ArticleShirika la Hifadhi za Taifa TANAPA lakanusha kanusha habari za Hifadhi ya...
Meneja Mawasiliano wa TANAPA Pascal Shelutete akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha alipokutana nao kutoa ufafanuzi kuhusiana na kutokuwepo kwa mpango wa kuikabidhi Hifadhi ya Taifa ya Katavi...
View ArticleRIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA KAMPENI CHALINZE
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza na Baadhi ya Viongozi wa Dini kwenye Kijiji cha Mkange,Kata ya Mkange wakati alipopita...
View ArticleMgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Demokrasia na...
Ally Bananga, mgombea wa Chadema Mathayo torongey na viogozi wengine wakiwa katika kampeni Jimbo la Chalinze. Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo...
View ArticleUZINDUZI MAALUMU WA SHINDANO LA SCHOOLAR INVESTMENT CHALLENGE 2014 (UDBS)
Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Alexander Mwinamila (kushoto) akizungumza na viongozi wa Shule Kuu ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), mara baada ya uzinduzi...
View Article