RAIS DKT.KIKWETE ATOA ZAWADI YA KRISMASI
Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii Beatrice Fungamo (katikati) akimkabidhi Mwakilishi wa Makao ya Watoto Kurasini wilayani Temeke Bibi Beatrice Mgumiro mbuzi tatu(3), kilo 150 za mchele na lita...
View ArticleUMEME BEI JUU JANUARI MOSI
Taarifa ya EWURA YA bei mpya za umeme zitakazoanza kutumika Januari, Mosi 2013Tarehe 11 Oktoba 2013, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) liliwasilisha maombi ya kurekebisha bei ya umeme kwa Mamlaka ya...
View ArticleUTENDAJI KAZI WA MBUNGE WA LUDEWA-CCM FILIKUNJOMBE WAWAVUTIA WAPIGA KURA...
Mbunge Filikunjombe kati akipokea zawadi ya mbuzi kutoka kwa mkazi wa manda huku mkewe Habiba akishukuru Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe akifurahia baada ya kupongezwa kwa kubebwa mgongoni...
View ArticleJaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani ametawazwa kuwa Mchungaji wa Kanisa la...
Jaji Mkuu Mstaafu, Jaji Augustino Ramadhani akitoa mkate kwa waumini wa Kanisa la Anglikana baada ya kupewa Daraja la Ukasisi katika Kanisa la Anglikana lililopo Mkunazini mjini Zanziabar...
View ArticleRais wa Zanzibar Dr Ali Shein Azindua Rasmi Jengo jipya la Kiwanda cha...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kuashiria ufunguzi rasmi wa Jengo jipya la Kiwanda cha Uchapaji Zanzibar na Idara ya Mpiga Chapa Mkuu wa...
View ArticleRais Jakaya Kikwete Katika Hafla Ya Kukabidhiwa Rasmi Ya Katiba Kwenye...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mhe. Joseph S. Warioba mara baaada ya kuwasili katika viwanja vya Karimjee Hall kupokea Rasimu ya Pili ya Katiba....
View ArticleTazama Picha ya Mwisho Kupigwa IGP, Said Mwema akiwa ni Mkuu wa Jeshi la...
Picha juu ndio picha ya Mwisho kupigwa IGP, Said Mwema akiwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania. Picha hii ilikuwa jana katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.Picha na Mroki Mroki
View ArticleJK amteua Ernest Mangu IGP mpya
Kamishna wa Polisi, Ernest Mangu,Na Mwandishi Wetu,MwananchiRais Jakaya Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi, Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.Taarifa iliyotolewa jana usiku na Katibu...
View ArticleSasa Soma Kwa Makini Rasimu Yote Ya Katiba Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akipokea rasmi Rasimu ya Katiba Mpya ambayo itajadiliwa hapo baade na Bunge maalum la Katiba kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko...
View ArticleJAMAA AKWEA JUU YA MNARA WA SIMU UBUNGO AKATAA KUSHUKA HADI AONANE NA RAIS...
Jamaa mmoja ambaye jina lake halijaweza kupatikana leo majira ya saa 5 na nusu asubuhi alipanda juu ya mnara wa kampuni ya simu Vodacom mkabala na ofisi ya Tbs,alipokuwa juu ya mnara alikua na picha...
View ArticleIGP ERNEST MANGU, NAIBU WAKE WAAPISHWA NA JK, DAR
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Mkuu mpya wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Ernest Mangu, kwenye hafla iliyofanyika viwanja vya Ikulu, Jumanne jioni...
View ArticleJAJI WARIOBA AKUTANA NA JUKWAA LA WAHARIRI NCHINI (TEF) NA BARAZA LA HABARI...
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (kushoto) akikabidhi nakala za Rasimu ya Katiba kwa Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Neville Meena (katikati) wakati wa mkutano baina ya...
View ArticleMKWASA, PONDAMALI, KUINOA YANGA
Uongozi wa Young Africans SC umepata warithi wa nafasi tatu za benchi la ufundi (Charles Boniface Mkwasa, Juma Pondamali na Dr. Suphian Juma), huku wakiendelea na mchakato kumpata kocha mkuu ambaye...
View ArticleWANAKWAYA ARUSHA WALIPULIWA KWA BOMU
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas.WANAKWAYA sita wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Kalory Rwanga, Usa River, mkoani hapa, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni na ya Tengeru, Arumeru...
View ArticleMHE ZITTO KABWE AIBWAGA CHADEMA KATIKA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA
Zitto Kabwe akiingia mahakama Kuu Dar es Salaam. Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe (kulia) akitoka katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es...
View ArticleWaziri Mkuu, Mizengo Pinda Aupokea mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dr....
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akishuhudia wakati mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa wakati ulipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Nduli Iringa Desemba 5,2014 kwa ajili ya mazishi...
View ArticleKAMATI KUU YA CHADEMA YA KUWAVUA UANACHAMA DKT.KITILA MKUMBO NA SAMSON...
Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa--- CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO UTANGULIZI Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ilikaa kikao cha dharura ili kupokea, kujadili na...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA DKT WILLIAM MGIMWA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na mkewe Mama Salma Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga Marehemu William Mgimwa kijijini...
View ArticleWafuasi wa Chadema watwangana tena Dar
Mfuasi wa Chadema akiwa chini baada ya ‘kukatwa mtama’ na mfuasi mwingine wa chama hicho baada ya kutokea vurugu baina ya wafuasi wanaounga mkono uongozi na wale wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto...
View Article