TAMKO LA JUKWAA HURU LA WAZALENDO KUUNGA MKONO HOTUBA YA MAGUFULI
Mwenyekiti wa Jukwaa Huru la Wazalendo Ndugu Salum Ally Hapi akizungumza na waandishi wa habari kwenye hotel ya Travetine ,Magomeni jijini Dar es Salaam, kulia ni Katibu wa Jukwaa hilo Ndugu Mtela...
View ArticleSERIKALI YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA MASHIRIKA NA WADAU WA HABARI KUTOKOMEZA...
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa...
View ArticleMUHIMBILI YAPATIWA MSAADA WA VIFAA VYA KUOKOA MAISHA YA WATOTO
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) Tanzania, Dk Juma Gulaid akisoma taarifa kabla ya kukabidhi vifaa vya kuhudumia watoto katika hafla fupi iliyofanyika katika...
View ArticleMATUMIZI YA TEHAMA YABORESHA UFANISI SERIKALINI.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini toka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Florence Temba akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu utaratibu wa Serikali kutumia...
View ArticlePAPA FRANCIS AWASILI NCHINI KENYA JIONI HII
Papa Francis akisalimiana na Rais wa Kenya, Mh. Uhuru Kenyatta wakati alipowasili nchini Kenya leo ambapo atakuwa na ziara ya siku sita katika nchi za Afrika. Kushoto ni Mke wa Rais Kenyatta, Magret...
View ArticleMSD kuweka nembo ya serikali kwenye dawa zake
Serikali imeamua kuwa itahakikisha dawa zote katika Mahospitali na Vituo vya afya zinapatikana wakati wote. Na kama ambavyo ahadi hiyo imekuwa ikinadiwa na Rais Dkt. Magufuli katika kampeni zake, sasa...
View ArticleSHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAZINDUA RASMI MAUZO YA NYUMBA ZA KAWE SEVEN...
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza kuzindua rasmi mauzo ya nyumba katika mradi wake mpya wa Seven Eleven (711) Kawe. Ujenzi wa mradi huo ulianza rasmi...
View ArticleKAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LTD YAVIPIGA JEKI CHUKO KIKUU CHA USHIRIKA NA...
Meneja masoko wa Kampuni ya Megatrade Investment ya jijini Arusha,Edmund Rutaraka akimkabidhi hundi ya kiasi cha shilingi Milioni 1.5 ,katibu wa Chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro ,KRFA,Mohamed Musa...
View ArticleAIRTEL TANZANIA YAPIGA ‘TAFU’ TASWA SC
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando akimkabidhi vifaa vya michezo Mwenyekiti wa timu ya waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa SC) Majuto Omary kwa ajili ya kutumika katika mechi...
View ArticleKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kushoto), akipokelewa na Maofisa wa Jeshi la Polisi alipowasili Chuo cha Polisi Kilwa Road, kufungua Kikao cha Baraza la wafanyakazi...
View ArticleBARAZA LA UJENZI ENDELEVU NA MAZINGIRA TANZANIA LATANGAZA AZMA YAKE UJENZI...
Viongozi wa Baraza la Ujenzi Endelevu na Utunzaji wa Mazingira Tanzania, Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Baraza hilo, Ipyana Moses na Makamu wa Rais wa Baraza hilo, Farizan d’Avezac de Moran...
View ArticleZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA KUWA ENDELEVU JIJINI DAR ES SALAAM
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mhe. Said Meck Sadiki akizungumza na waandishi wa habari ( hawapo pichani) ofisini kwake leo alipokuwa akizungumzia zoezi la usafi na namna mkoa ulivyojipanga...
View ArticleMAGUFULI ATINGA OFISINI KWA MAJALIWA
Rais John Magufuli akitia saini kitabu cha wageni wakati alipomtembelea Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa ofisini kwake jijini Dar es salaam Novemba 26, 2015 na kuzungumza nao kwa takribani saa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN, AKUTANA NA VIONGOZI WA MTANDAO WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Wanawake Wanasiasa kutoka Vyama mbalimbali vya Siasa Tanzania walio...
View ArticleMRADI WA 'SAFARI SATELLITE CITY' WAPATA MAJI YA KUTOSHA KWA UJENZI WA NYUMBA...
Uongozi wa Shirika Mkoa wa Arusha umefanikisha uvutaji wa bombala maji safi kutoka umbali wa Kilomita1.5 kama sehemu ya kuwezesha mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu katika mji mdogo wa Safari...
View ArticleJK ATINGA OFISINI KWAKE LUMUMBA
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye mara baada ya kuwasili kwenye Makao Makuu ya Chama Ofisi Ndogo...
View ArticleTIGO YAZINDUA MTANDAO WENYE KASI ZAIDI WA 4G LTE JIJINI TANGA
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Mashariki, Goodluck Charles (wa pili kulia) akimkabidhi zawadi ya simu, James Marwa ambaye aliibuka mshindi wa kwanza wa bahati nasibu iliyochezeshwa jana sambamba na...
View ArticleWAZIRI MKUU AWASIMAMISHA KAZI MAAFISA WATANO TRA
WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maafisa watano na watumishi watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya sh....
View ArticleKAMISHNA MKUU WA TRA, RISHED BADE ASIMAMISHWA KAZI
Rais Dk Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa mamlaka ya mapato Tanzania ( TRA) Rished Bade na kumteua Philiph Mpango kukaimu nafasi hiyoTaarifa kutoka ikulu zimesema kuwa uamuzi huo wa Rais...
View ArticleMAJALIWA AZINDUA UNUNUZI WA HISA ZA BENKI YA WALIMU- MCB
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majliwa akigonga kengelle kuashiria uzinduzi wa ununuzi wa hisa za Benki ya Walimu- MCB kwenye soko la hisa la Dar es salaam. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es salaam...
View Article