1.4 TO 1.6 MILLION LIVING WITH HIV/AIDS IN TANZANIA –THMIS REPORT
UNAIDS Country Director, Patrick Brenny gives his opening remarks during the Commemoration of the World Aids Day at Karimjee hall in Dar es Salaam.Beatrice Mkiramweni from the UN Resident Coordinator's...
View ArticleMakamba aongoza uzinduzi wa Azam TV
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mh. January Makamba (MB) akizungumza kwenye uzinduzi wa Azam TV uliofanyika Hyatt Regency The Kilimanjaro Hotel mwishoni mwa Juma ambapo amesema Azam...
View ArticlePICHAZA MABASI YAENDAYO KASI BAADA YA KUFIKA JIJINI DSM
Mabasi ya mwendo kasi 2014 kimara kivukoni. Picha kwa hisani ya Deo Mutta Mwanatanga
View ArticleWAZIRI MKUU MHE. PINDA AHUDHURIA MAHAFALI YA MZUMBE, BINTI YAKE JANET PINDA...
Mtoto wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Janet Pinda (Kulia) akipongezwa na mdogo wake Nasirika Nyema baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamili ya Uongozi katika Mifumo ya Afya kwenye Mahafali ya Chuo...
View ArticleKatibu Mkuu wa Chadema Dk. Willibrod Slaa Aunguruma Kibondo na Kigoma...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Community Center mjini Kibondo Katibu Mkuu wa Chama cha...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILALA, MGENI RASMI KWENYE MAHAFALI YA KWANZA CHUO KIKUU...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata keki ya mahafali ya kwanza ya chuo kikuu cha Bagamoyo yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa...
View ArticleTANZANITE YAKWAA KISIKI KWA BASETSANA
Na Baraka Mpenja wa Fullshangwe, Dar es salaamTel: 0712461976 au 0764302956“Hawa vijana ni kama mahindi machanga yanayochipukia, wasikatishwe tamaa hata kidogo. Kile walichopata dhidi ya Msumbiji sio...
View ArticleKILI STARS YAINYONGA UGANDA CECAFA, WABWAGA KOMBE MOMBASA, IVO MAPUNDA...
TIMU ya Taifa ya Tanzania bara, The Kilimanjaro Stars imefanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya kombe la Mataifa ya Afrika mashariki na kati, CECAFA Challenge 2013 baada ya kuwafunga waliokuwa...
View ArticleMHE. ANGELA KAIRUKI ATAJWA KUWA MIONGONI MWA WANAWAKE VIJANA 20 WENYE NGUVU...
Mhe. KairukiNaibu Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Angela Jasmine Kairuki (37) ametajwa katika jarida la kimataifa la Forbes kuwa ni mmoja wanawake vijana 20 wenye nguvu barani Afrika mwaka huu....
View ArticleIGP MWEMA ATEUA MAKAMANDA WA MWANZA, MBEYA NA SIMIYU
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIJESHI LA POLISI TANZANIAMkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Said Mwema, amefanya uteuzi wa Makamanda wa...
View ArticleTCME WASHIRIKIANA NA VETA KATIKA KUTOA MAFUNZO YA UCHIMBAJI MADINI KWA WAZAWA
Mgeni Rasmi katika sherehe za mwaka za Chama cha Wafanyabiashara wa Madini Tanzania (Tanzania Chamber of Minerals and Energy) Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi akizugumza kwa niaba...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHITIMISHA MBIO ZA UHURU (UHURU MARATHON) KWENYE...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa Tamasha la kuhitimisha Mbio za Uhuru (Uhuru Marathon) zilizomalizikia kwenye Viwanja vya Leaders...
View ArticleNATURE, MZEE YUSUF, TUNDA MAN, KHADIJA KOPA, SNURA, KR, BAMBO WAWASHA MOTO...
Juma Nature akiwapagawisha mashabiki wake Dar Live.Mzee Yusuf akizikonga nyoyo za mashabiki.Tunda Man nae akikamua.Malkia wa Mipasho nchini, Khadija Omar Kopa akiwapagawisha mashabiki.Snura Mushi...
View ArticleNBC 2013 FAMILY DAY CELEBRATIONS YAFANA KINOMA NOMA!!
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Mizinga Melu akizungumza na wafanyakazi wa benki hiyo na familia zao wakati wa sherehe za Siku ya Wanafamilia wa NBC kwenye Hoteli ya Ledger Plaza Bahari...
View ArticleKAMPENI YA NANI MTANI JEMBE YATIKISA UKONGA BANANA DAR ES SALAAM, MASHABIKI...
Mtoa huduma katika Kampeni ya Nani Mtani Jembe (kushoto), akizungumza na Mteja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakati wa tamasha lililofanyika Ukonga Banana Dar es Salaam leo kwaajili ya Mashabiki...
View ArticleISRAEL YAZINDUA SAFARI ZA KULETA WATALII KUJA TANZANIA , KUNDI LA KWANZA...
Baadahi ya watalii kutoka Israel wakifanyiwa ukaguzi katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA) kabla ya kupanda ndege kurejea kwao Isreal.Mkurugenzi wa kampuni ya utalii ya Safari company ya nchini,...
View ArticleRais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete Wawasili nchini Afrika Kusini usiku...
Rais Kikwete akisindikizwa kuelekea kwenye gari baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Waterkloof Airforce Base ulioko Kusini mwa jiji la Pretoria . Nyuma yake mwenye ushungi kichwani ni Mama Salma...
View ArticleWANAHABARI WA ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM KOMREDI KINANA MIKOANI WAREJEA KWA...
Ni furaha iliyoje kwa wanahabari walipokuwa wakiondoka na msafara wa Komredi Kiwana kwa treni ya Tazara Stesheni ya Makambako, Mkoani Njombe kurejea Dar Mmiliki wa Blogu hii, Kamanda Richard Mwaikenda...
View ArticleMayors Ball 2013 Red Carpet @ Hyatt Regency The Kilimanjaro
His Worship Mayor of Ilala, Hon. Jerry Silaa with Assistant Director and Marketing Manager, Deogratius Kessy, from Sheria Ngowi Company Limited His Worship Mayor of Ilala was dressed by Sheria...
View ArticleRais Jakaya Kikwete Rais Jakaya Kikwete ameongoza mamia ya Watanzania katika...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akiwasalimia wananchi alipokua akiwasili uwanja wa Uhuru wakati wa sherehe za maadhimisho ya...
View Article