Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6824 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT MAGUFULI AREJEA JIJINI DAR BAADA YA KUJITAMBULISHA MIKOA KADHAA,APOKELEWA...

 Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John PombeMagufuli akiwasalimia wananchi wa Mji wa Chalinze (hawapo pichani)alipokuwa akirejea jijini Dar jana jioni akitokea mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AMUAPISHA MKURUGENZI MPYA WA UCHAGUZI BW. KAILIMA RAMADHANI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam Julai 25, 2015.Ndugu Kailima...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA WATANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA KUMBUKUMBU YA...

Brass Bendi ya Jeshi ikiingia kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kuanza Maadhimisho.Picha zote na Hussein Makame-MAELEZOMnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa (JWTZ) , Luteni Jenerali Samweli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAIRO, KILLIMBAH,GYUNDA WAGOMEA MCHAKATO KURA ZA MAONI UBUNGE IRAMBA, WAMTAKA...

Mmoja wa wagombea wa Ubunge Jimbo la Iramba, Mkoani Singida Davd Jairo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani, juu ya madai yao ya kugomea kuendelea na mchakato wa kura za maoni hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUUNGANO WA JUMUIYA ZA MARADHI YASIYO AMBUKIZA ZANZIBAR ZATOA TAALUMA YA...

 Katibu wa Taasisi ya  Zanzibar Heart Foundation Sururu Abass Othman akizungumza na wananchi  wa shehia za Muembemakumbi, Karakana na  Chimbuni waliofika kuchungaza Afya zao.Picha na Makame Mshenga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA UKOMBOZI WA UMMA (CHAUMMA) CHAMTANGAZA MGOMBEA KITI CHA URAIS WA...

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma Zanzibar (CHAUMMA) Faki Salum Abdalla akitoa salamu za Chama hicho wakati wa Mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) wa kumtambulisha Mgombea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA NISHATI NA MADINI YATOA MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI WA MIRERANI

Afisa Madini Mkazi, Mkoa wa Kilimanjaro, Fatuma Kyando akielezea  sheria na kanuni za uchimbaji wa madini  nchini katika mafunzo  yaliyoshirikisha wachimbaji wa madini Mirerani kuanzia  Julai 25- 26...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADAKTARI WA DIASPORA WAKABIDHI MSAADA WA DAWA ZA MAGONWA YA BINAADAMU KWA...

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dr. Jidawi akizungumza na Madaktari Diaspora kutoka Washington walipofika Afisini kwake kwa kujutambulisha ujio wao Zanzibar walioletwa na Jumuiya ya Watanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUMUUNGE MKONO DK.MAGUFULI NDIO CHAGUO LA CCM- CATHERINE MAGIGE

Mbunge viti maalum kundi la wananwake (UWT) Mkoa wa Arusha ,Catherine Magige  akizungumza jana katika mkutano wa wagombea Ubunge 12 kupitia chama cha mapinduzi waliofanya ziara ya kujinadi kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAFARY MICHAEL KUWANIA UBUNGE WA JIMBO HILO

Wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Moshi mjini wakiwa katika mkutano maalumu wa kumchagua mtia nia atakaye peperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA WAMKARIBISHA EDWARD LOWASSA

  Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba wakijadilia jambo katika mkutano na waandishi wa habari.……………………………………………………………………Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AFANYA ZIARA YA KISERIKALI AUSTRALIA, ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa kijeshi wa Fairbairn mjini Canberra katika siku ya mwanzo ya ziara yake Rasmi ya siku nne ya Kiserikali nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AHAMIA RASMI CHADEMA, UKAWA WAFURAHIA

Edward Lowassa akiwapungia mkono makada wa vyama vya UKAWA na CHADEMA baada ya kuwasili ukumbini.Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe (kushoto) akiteta jambo na Edward Lowassa aliyejiunga na chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA HOSPITALI YA WANAWAKE NA WATOTO YA CENTENARY YA MJINI CANBERRA...

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikaribishwa na Mama Elizabeth Chatham, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Caniberra nchini Australia inayotoa huduma ya Afya ya Mama, vijana  na watoto mara baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FASTJET YAZINDUA RASMI ‘ROUTE’ YA DAR- LILONGWE KWA KISHINDO

Meneja Mkuu wa shirika la Ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati, akizungumza na abiria kwanza kuingia ndani ya ndege, Bi.Fatma Amour (aliyeipa mgongo kamera) kabla ya kukata utepe ikiwa ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA AUSTRALIA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Waziri Mkuu wa Australia Mhe. Tonny Abbot alipowasili asubuhi ya tarehe  28 Julai 2015  katika makao  Makuu ya kiongozi  huyo  jijini Sydney.Rais Jakaya Mrisho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WAANDISHI WA HABARI CCM

Like   Comment   Share

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI MSIBA WA MAREHEMU MZEE JOHN EDWARD MCHECHU

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba  (NHC), Nehemia Mchechu alipofika nyumbani kwake Mbezi Beach jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAGOMBEA UBUNGE CCM WAKAMILISHA KAMPENI ZAO KATIKA KATA 25 JIJINI ARUSHA

Mkurugenzi wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la Arusha kwa tiketi ya CCM akinadi sera zake mbele yawananchi na wanachama wa chama hicho katika kata ya Themi viwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM MKOA WA DAR ES SALAAM WAITAKA TUME KUONGEZA VIFAA ILI KUFANIKISHA ZOEZI

Mwenezi wa CCM Mkoa wa Dar Es Salaam Ndugu Juma Hamis ‘Gadafi’ akizungumza na waandishi wa habari kwenye hotel ya Peacock jijini Dar es Salaam.…………………………………………………………..Chama Cha Mapinduzimkoa wa  Dar es...

View Article
Browsing all 6824 articles
Browse latest View live