Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI LUKUVI AHIMIZA MPANGO SHIRIKISHI KUENDELEZA ARDHI KATA YA MAKONGO KWA...

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi na akizungumza na wananchi wa Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam juu ya Mpango Shirikishi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NASSAR AISHUKURU BENKI YA NMB KWA MISAADA INAYOENDELEA KUTOA KWA WANANCHI...

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki JoshuaNassar akifurahia msaada wa madawati toka Benki ya NMB ,wengine ni viongozi kutoka katika benki hiyo pamoja na viongozi waliokuwa wakiiwakilisha serikali....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AAGA RASMI UMOJA WA AFRIKA, ATUMIA KISWAHILI KATIKA HOTUBA YAKE...

Waziri wa Nchi (OR) ikulu na utawala bora Dr. Mwinyihaji Makame Mwadini Zanzibar akisalimiana na katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergomena Tax wakati wakisubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete ahutubie na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA, AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BABA YAKE...

 Marehemu Francis Festus Mengele, enzi za uhai wake. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Francis Festus Mengele. Shangazi wa Msanii, Steve Nyerere,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA MTEMVU CUP YAFIKIA TAMATI, KATA YA 14 YAIBUKA KIDEDEA

Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (kushoto), akiwa na Waziri wa Habari  Vijana Utamaduni na Michezo, Dk.Fenellah Mukangala (kulia) aliyekuwa mgeni rasmi katika fainali za mashindano ya Mtemvu CUP...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DRFA YASIKITISHWA NA MATOKEO MABAYA YA TAIFA STARS

Chama cha kandanda mkoa wa Dar es salaam DRFA,kimesikitishwa namatokeo mabaya iliyoyapata timu ya taifa (Taifa Stars) kwa kufungwa mabao3-0 dhidi ya Mafarao wa Misri,katika mchezo wake wa kwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA HABARI VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI...

Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Shaaban Issa Bin Simba.Enzi za uhai wake.………………………………………………….JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA HABARI VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZOTaarifa kwa vyombo vya habariWaziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA MARK MWANDOSYA AENDELEA KUSAKA WADHAMINI MKOANI KILIMANJARO

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gamaakisalimiana na Waziri wa nchi,Ofisi ya Rais(Kazi Maalum) Prof,Mark Mwandosya mara baada ya kufika ukumbi wa mikutano wa mkoa wa Kilimanjaro wakati akiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA URAIS, DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL, ARUDISHA FOMU ZA URAIS MJINI DODOMA

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi  CCM, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Fomu zake za kuwania urais, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, Rajab Luhwavi, wakati alipowasili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ADHAMINIWA KWA KISHINDO MJINI BUKOBA

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Mh. Edward Lowassa akipongezwa na Bibi huyu (ambaye jina lake halikuweza patikana kwa haraka) mara baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPOKEZI YA MH. LOWASSA MJINI BUKOBA

 Sehemu ya Wakazi wa mji wa Bukoba Mkoani Kagera wakiwa nje ya Uwanja wa Ndege wa Bukoba, wakimsubiri kumlaki Mtangaza nia ya Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Mh. Edward Lowassa, tayari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI ANGELA KAIRUKI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MKOA WA KILIMANJARO JUU YA...

Naibu waziri a Ardhi ,Nyumbana Maendeleo naMakazi,Angela Kairuki akiongozana na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama wakati  alipowasili Kilimanaro kwa ajili ya tuhuma dhidi ya mkuu huyo wa mkoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WALIVYOTEMBELEA MRADI WA VIWANJA VIKURUTI

Baadhi ya wananchi wakiangalia ramani katika mradi wa viwanja unaoendeshwa na Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, katika eneo la Vikuruti, wilayani Kibaha, mkoani Pwani mwishoni mwa wiki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOKATE AWATAKA WASANII KUWA WABUNIFU ILI KUPATA MAFANIKIO

Jokate (kushoto) akizungumza katika mkutano wa jukwaa la sanaa. Katikati ni katibu mkuu wa Chama cha  Waandishi wa Habari za Sanaa na Utamaduni nchini, (CAJAtz), Hassan Bumbuli na mbunifu mkongwe wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AKISALIMIANA NA BAADHI YA WANANCHI WA MPANDA...

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wanaCCM wa kijijini kwake Kibaoni wilayani  Mlele Juni 15, 2015 wakati alipokwenda kwenye Ofisi ya CCM ya kata ya  Kibaoni  kabla ya kudhaminiwa  na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU MUFTI SIMBA, ASHIRIKI...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji mke wa aliyekuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Marehemu Shaaban Issa Bin Simba, Bi Makaje Goso, wakati alipofika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGOZA MAELFU YA WAISLAM KWENYE MAZISHI YA SHEIKH MKUU WA...

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kwenye Kaburi la Marehemu Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban bin Simba, aliezikwa leo Juni 16, 2015 kwenye Makaburi ya Waislam, Nguzo Nane Mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Makamu wa Rais wa zamani wa Sudani ya Kusini Mhe. Riek Machar Teny Dhurgon baada ya kufanya naye mazungumzo mafupi walipokutana jijini Johannesburg, Afrika ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIKOA YA SHINYANGA NA MWANZA YAENDELEA NA UBABE MBIO ZA BAISKELI

Mmoja wa washiriki wa mbio hizo akinywa maji wakati wa mashindano hayo.Mshindi wa mbio za Acacia Tufanikiwe Pamoja Lake Zone Cycle Challenge, Masunga Duba aliyeinua mikono akishangilia mara baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUKUVI ATOA MSAADA WA PIKIPIKI 16 KWA MAKATIBU KATA WA CCM JIMBONI KWAKE

Makatibu kata wa CCM jimbo la Isimani wakiwa wamezunguka pikipiki 16 zilizotolewa na mbunge wao Wiliam Lukuvi kwa ajili ya  kuwasaidia katika shughuli za kila sikuKatibu wa CCM mkoa wa Iringa Hassan...

View Article
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live