CHADEMA WAFANYA MKUTANO WAO JIJINI ARUSHA.
Mheshimiwa Tundu Lissu akiwahutubia wakazi wa Arusha Mjini katika mkutano mkubwa ulioambatana na mvua kubwa hapo jana.Wakazi wa Arusha wakiwa katika mkutano mkubwa ulioambatana na mvua lakini wamesema...
View ArticleRAIS KIKWETE AWASILI ALGIERS, ALGERIA, KWA ZIARA RASMI YA SIKU TATU
Rais was Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili mjini Algiers, mji mkuu wa Algeria, mchana wa leo, Jumamosi, Mei 9, 2015 kuanza ziara rasmi ya Kiserikali ya siku...
View ArticleBODI YA UTT-PID NA MENEJIMENTI YAKE YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO CHINA
Bodi ya UTT-PID ikiongozwa na mwenyekiti wake Mrs. E Mlaki pamoja na Menejimenti wakiwa na wenyeji wao katika jiji la Chengdu ambapo walifanya ziara katika maeneo tofauti ya uwekezaji na manufaa...
View ArticleFILIKUNJOMBE AKABIDHI MSAADA WA TSH MILIONI 40 KIJIJI CHA MAVANGA ASEMA CCM...
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akiwhutubia wakazi wa kijiji cha Mavanga wilayani Ludewa muda mfupi baada ya kukabidhi msaada wa vitu mbali mbali vya ujenzi vyenye thamani ya...
View ArticlePROFESA HERMAS MWANSOKO AZINDUA TAWI LA CHAWAKAMA KATIKA CHUO CHA KUMBUKUMBU...
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Hermas Mwansoko akizungumza wakati wa hafla uzinduzi wa Tawi la Chama cha Wanafunzi wanaosoma...
View ArticleMANGULA NA NAPE WAHANI MSIBA WA JOHN NYERERE
Picha ya Marehemu John Nyerere aliyefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa.Marehemu John alizaliwa mwaka 1957 jijini Dar es Salaam na enzi za...
View ArticleRAIS KIKWETE AWEKA SHADA LA MAUA KABURI LA MASHUJAA, ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la maua kwenye kaburi la Mashujaa wa Algeria, jana Jumapili, Mei 10, 2015. Rais Kikwete yupo nchini Algeria kwa ziara...
View ArticleRAIS KIKWETE KATIKA SIKU YA PILI YA ZIARA YAKE RASMI NCHINI ALGERIA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelaziz Bouteflika katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Algiers Jumapili May 10,...
View ArticleWAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRICA WAKUTANA ARUSHA KUANGALIA...
Mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa kutoka Ghana Mh.Daniel Batidam akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini...
View ArticleUZINDUZI WA HUDUMA MPYA YA MAXMALIPO KWA KUTUMIA SIMU YA KIGANJANI.
Mkuuwa kitengo cha Biashara Maxcom Africa Bw. Deogratius Lazari (Katikati)Akifafanua Jambo kwa waandishi wa habari ambao hawapo katika picha wakati waUzinduzi wa Mfumo Mpya wa kutoa huduma za Maxmalipo...
View ArticleSHIGONGO AZINDUA VITABU VYAKE VITATU VIPYA KATIKA OFISI ZA GLOBAL
MHAMASISHAJI na mjasiriamali wa kimataifa, Eric James Shigongo, amewaasa Watanzania kutokata tamaa katika kufuatilia ndoto zao huku wakiamini kuwa wao ni watu muhimu katika maisha yao na ya...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU JOHN...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu John Nyerere, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo...
View ArticleBENKI YA NMB YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI HAI.
Meneja wa Benki ya NMB kanda ya kaskazini Vicky Bishubo akizungumza wakati wa kukabidhi msaada wa kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni ukanda wa chini wilayani Hai.Msaada wa magodoro...
View ArticleZIARA YA BODI YA UTT-PID NA MENEJIMENTI YAKE ILIPOZURU CHINA YA SIKU 5 YAFANA
Bodi ya taasisi ya UTT-PID na Menejimenti yake wakia katika picha ya pamoja na uongozi wa kampuni ya Chengdu Engineering Corporation wakati wa picha ya pamoja. Waliosimama mbele (wa pili kutoka kulia)...
View ArticleRED CROSS YAKABIDHI MSAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO ZANZIBAR
Mwakilishi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania { RED CROSS } Bwana Shaaban Ali Iddi akikabidhi msaada wa Viatu Pair 90 kwa Katibu wa Kamati ya Taifa ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar...
View ArticleTUME KUONGEZA MAJIMBO
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano na Viongozi wa vyama vya siasa ambapo alizungumzia zoezi la kugawa Majimbo ya Uchaguzi. Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Julius...
View ArticleMAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI KLABU ZALENDO KATIKA MANISPAA YA LINDI
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea kwa kuyapungia mkono maandamano ya wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari katika Manispaa ya Lindi ambao ni wanachama wa Klabu Zalendo wakiongozwa na...
View ArticleAFUNGUA MAONESHO YA ELIMU MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Sista Flosy Sequeire, Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Saint Francis ya Mbeya tuzo maalum ya kutambua ufalu mzuri wa wanafunzi wa shule hiyo wakati...
View ArticleKUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASA WAFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO.
Baadhi ya vijana ambao ni marafiki wa Lowasawakiwa katika safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro.Kundi la marafiki wa Lowasa kutoka kana yaKaskazini wakiwa katika kituo cha Kibo ,wakiwa katika maandalizi...
View ArticleRAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA RASMI YA ALGERIA, AREJEA NYUMBANI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na viongozi mbalimbali katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo May 12, 2015 baada ya kuhitimisha ziara yake...
View Article