Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Katibu mkuu wa Umoja wa Vijana UVCCM Sixtus Mapunda, akimsimika Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki, kuwa Kamanda wa Vijana wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Katibu mkuu wa umoja wa Vijana UVCCM, Sixtus Mapunda akimsomea , Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki kiapo cha ukamanda. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki, akila kiapo cha kusimikwa kuwa kamanda wa umoja wa vijana UVCCM wilaya ya Same. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki akizindua Shina la wakereketwa wa umoja wa Vijana Uvccm, baada ya kusimikwa kuwa kamanda wa umoja huo wilayani Same. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa timu za mpira, baada ya kuwakabidhi vifaa vya michezo, kama njia ya kuwaunganisha vijana pamoja. Picha zote na Fadhili Athumani |