Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 6864

SERIKALI YATOA PICHA RASMI YA RAIS WA AWAMU YA TANO.

Image may be NSFW.
Clik here to view.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akiwaonesha waandishi wa Habari picha rasmi ya Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ambayo itakuwa ikitumika katika ofisi za Serikali na Binafsi ambayo inapatikana Idara ya Habari (MAELEZO) kwa gharama ya Shilingi 15,000/

Viewing all articles
Browse latest Browse all 6864

Trending Articles