
Rais akuonyesha kitambulisho chake alichopewa mara baada ya kujiandikisha katika daftari daftari la kudumu la
wapiga kura kwa kutumia teknolojia ya BVR huko kijijini Msoga wilayani
Bagamoyo leo.
wapiga kura kwa kutumia teknolojia ya BVR huko kijijini Msoga wilayani
Bagamoyo leo.
—————————————————————-
JUMLA ya watu milioni 11,248,194 wameandikishwa kwenye daftari la
kudumu la wapiga kura zoezi ambalo linaendelea kwa sasa hapa nchini
likiwa limeingia mkoani Pwani.
kudumu la wapiga kura zoezi ambalo linaendelea kwa sasa hapa nchini
likiwa limeingia mkoani Pwani.
Hayo yalisemwa leo
kwenye Kijiji cha Msoga kata ya Msoga wilayani Bagamoyo na mwenyekiti wa
Tume ya Uchaguzi ya Taifa Damian Lubuva alipokuwa anampa taarifa Rais
Dk Jakaya Kikwete mara baada ya kujiandikisha.
kwenye Kijiji cha Msoga kata ya Msoga wilayani Bagamoyo na mwenyekiti wa
Tume ya Uchaguzi ya Taifa Damian Lubuva alipokuwa anampa taarifa Rais
Dk Jakaya Kikwete mara baada ya kujiandikisha.
Bw.
Lubuva alisema kuwa malengo ni kuandikisha watu milioni 21 hadi 23 kote
nchini mara zoezi hilo litakapokamilika kati ya Julai mwishoni au Agosti
mwanzoni kama hakutatokea matatizo.
Lubuva alisema kuwa malengo ni kuandikisha watu milioni 21 hadi 23 kote
nchini mara zoezi hilo litakapokamilika kati ya Julai mwishoni au Agosti
mwanzoni kama hakutatokea matatizo.
“Hadi sasa ni
mikoa 11 inaendelea na zoezi ambayo ni Mwanza Shinyanga, Geita, Simiyu,
Mara, Manyara, Arusha, Kilimanjaro Morogoro na jana ulianza mkoa wa
Pwani,” alisema Lubuva.
mikoa 11 inaendelea na zoezi ambayo ni Mwanza Shinyanga, Geita, Simiyu,
Mara, Manyara, Arusha, Kilimanjaro Morogoro na jana ulianza mkoa wa
Pwani,” alisema Lubuva.
Aidha alisema kuwa changamoto
zilizojitokeza ni za kawaida hasa kutokana na mfumo huu kuwa ni mpya
kwani kila jambo jipya lina changamoto zake.
zilizojitokeza ni za kawaida hasa kutokana na mfumo huu kuwa ni mpya
kwani kila jambo jipya lina changamoto zake.
“Mfumo
huu ni mpya hivyo lazima kuwe na changamoto za hapa na pale lakini zoezi
linakwenda vizuri na tunaamini kuwa tutafanikiwa kama tulivyopanga,”
alisema Lubuva.
huu ni mpya hivyo lazima kuwe na changamoto za hapa na pale lakini zoezi
linakwenda vizuri na tunaamini kuwa tutafanikiwa kama tulivyopanga,”
alisema Lubuva.
Mkoa wa Pwani una jumla ya vituo 1,752
na mashine za BVR 932 ambapo kata ya Msoga kuna jumla ya vituo 17 zoezi
hilo kwa mkoa wa Pwani lilianza jana na litamalizika Julai 20.
na mashine za BVR 932 ambapo kata ya Msoga kuna jumla ya vituo 17 zoezi
hilo kwa mkoa wa Pwani lilianza jana na litamalizika Julai 20.