Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 6824

WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEA BANDA LA PSPF,AVUTIWA NA NAMNA WATU WALIVYOHAMASIKA KUJIUNGA NA MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI

$
0
0
 Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda akijadiliana jambo na Maafisa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Abdul Njaidi (katikati) na Gasper Lyimo jana alipotembelea banda la PSPF katika maonesho ya 39 ya sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam. Mheshimiwa Pinda alifurahishwa na juhudi za PSPF za kuhakikisha idadi kubwa ya watanzania wanaingia katika hifadhi ya jamii.
 Mhadisi Alli Shanjirwa akitoa maelezo kwa mmoja wa wateja waliotembelea katika banda ya PSPF katika maonesho yanayoendelea katika viwanja vya maonesho ya biashara vya kimataifa vya Mwalimu Nyerere.
  Baadhi ya wananchi wakipata maelezo kutoka kwa maafisa wa PSPF walipotembelea banda la PSPF.
 Maafisa wa PSPF Rahma Ngassa (kushoto) na Colleta Mnyamani wakitoa maelezo kwa wateja waliotembelea banda la PSPF katika  maonesho ya 39 ya kamataifa ya Dar es Salaam, yanayoendelea jijini  Dar es Salaam.
Maafisa wa wakitoa maelezo kwa wateja waliotembelea banda la PSPF katika  maonesho ya 39 ya kamataifa ya Dar es Salaam, yanayoendelea jijini  Dar es Salaam.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 6824

Trending Articles