Image may be NSFW.
Clik here to view.
Waziri wa Ujenzi ,Dkt John Pombe Magufuli akifurahia jambo na mkuu wa wilaya ya Same ,Herman Kapufi wakati
akifanya ukaguzi wa barabara kutoka Korogwe/Mkumbara hadi Same yenye urefu wa Kilomita 172, inayojengwa kwa fedha za mkopo kutoka benki ya dunia (WB).
Clik here to view.

Waziri wa Ujenzi ,Dkt John Pombe Magufuli akifurahia jambo na mkuu wa wilaya ya Same ,Herman Kapufi wakati
akifanya ukaguzi wa barabara kutoka Korogwe/Mkumbara hadi Same yenye urefu wa Kilomita 172, inayojengwa kwa fedha za mkopo kutoka benki ya dunia (WB).
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Waziri wa Ujenzi Dkt ,John Magufuli akizungumza na wakandarasi kutoka kampuni ya Dot Services ya nchini Uganda inayo jenga barabara ya Korogwe/Mkumbara hadi Same. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Waziri wa Ujenzi Dkt Magufuli akizungumza jambo wakati alipokutana na watenadji wakuu wa kampuni ya Dot Services wanaojenga barabara ya Korogwe/Mkumbara hadi Same. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Msafara wa Waziri wa Ujenzi Dkt John Magufuli wakati akikagua barabara mbalimbali katika wilaya ya Same |