TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI
ETTunapoelekea kipindi hiki cha sikukuu za Krismas na mwaka mpya, wananchi wenye imani ya Kikristo na hata madhehebu mengine hutumia muda huo kwenda kuabudu pamoja na muendelezo wa sherehe hizo kwenye...
View ArticleUVCCM WAMPONGEZA MHE RAIS JAKAYA KIKWETE KWA HOTUBA YENYE UFAFANUZI WA...
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) inampongeza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Profesa Jakaya Mrisho Kikwete kwa...
View ArticleRais Jakaya Kikwete Akutana na Mwanamuziki Mahiri Nchini Diamond na...
Rais Kikwete akiwa na msanii Naseeb Abdul “Diamond” baada ya kumkaribisha na kumpongeza kwa kushinda tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam jana Jumanne Desemba 23,...
View ArticleMASHAUZI CLASSIC KUTAMBULISHA WIMBO WAO MPYA “SURA SURAMBI
Kundi zima la Mashauzi Classic chini yake Isha Mashauzi, litafanya utambulisho wa wimbo wao mpya “Sura Surambi” kwa wakazi wa Morogogo Disemba 25 kwenye maadhimisho ya siku ya Christmas.Mkurugenzi wa...
View ArticleDK. SHEIN ATOA VIFAA VYA MCHEZO WA RIADHA LEO
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akiwapa mawaidha yake mafupi viongozi wa mchezo wa Riadha walipofika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo...
View ArticleFREDRICK SUMAYE: KUWENI NA HOFU YA MUNGU, NAYE ATASIKIA MAOMBI YENU KWA TAIFA
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika...
View ArticleTAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8JANUARY) LAFANA MJINI MOROGORO
Wasanii wa Hip hop katika anga ya muziki wa Bongofleva,Faridi Kubanda a.k.a Fid Q pamoja na Stamina wakilishambulia jukwaa kwenye tamasha la wazi la Tuo8January, hapo juzi katika viwanja vya sabasaba...
View ArticleWaziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa...
Ibada ikiendelea katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania la Mwanakwerekwe, mjini Unguja, Zanzibar,ambapo Mh.Lowassa na familia yake walihudhuria ibada ya Sikukuu ya Krismasi jana. Waziri...
View ArticleNHC yakabiliana na tatizo la moyo nchini kwa kusaidia matibabu ya watoto 53...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo Desemba 26, 2014 kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ya kuwaaga...
View ArticleBalozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, afanya mahojiano na gazeti la Gulf Today...
WIki iliyopita tarehe 17-18, Ubalozi Mdogo kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii, uliandaa kongamano la uwekezaji katika sekta ya utalii, kwa nia ya kuvutia wawekezaji na watalii ili...
View ArticleAskofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp...
Rais Kikwete akimsindikiza Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, aliyekwenda kumjulia hali na kumpa pole Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne...
View ArticleSerikali yafungia shindano la Miss Tanzania kwa miaka miwili
Mkurugenzi wa Lino Agency ambaye ni mmoja kati ya waandaaaji wa Miss Tanznia, Hashim Lundenga Serikali imelifungia shindano la Miss Tanzania kwa miaka miwili kutokana na sababu mbalimbali na...
View ArticleWaziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Edward Lowassa Amtembelea...
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani wa zamani,Mh. Ali Ameir Mohamed wakati alipomtembelea nyumbani kwake eneo la...
View ArticleNYALANDU ATANGAZA RASMI KUWANIA URAIS 2015
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazalo Nyalandu alisalimia wananachi baada ya kuwasili na mkewe Faraja Kota kwenye Mkutano wa jimbo uliofanyika kwenye Uwanja wa Michezo wa...
View ArticleMAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MBANJA
Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama cha Mapinduzi anayewakilisha Lindi Mjini Mama Salma Kikwete akiongea na vijana na wananchi mara baada ya kuzindua rasmi shina la wakereketwa Zahanati Kempu...
View ArticleDIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Rwanda jana.Diamond Platnumz...
View ArticleSHEIKH ALI MZEE COMORIAN AZIKWA MAKABURI YA WANGAZIJA, JIJINI DAR
Rais Mstaafu wa awamu ya pili,Alhaj Ali Hassan Mwinyi (wa tatu kushoto),Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim (wa nne kulia),Sheik Mkuu wa Tanzania,Shaaban Simba (wa pili kushoto) na Sheikh wa...
View ArticleAJALI YA LORI NYORORO IRINGA, LAFUNGA BARABARA KWA SAA KADHAA
Sehemu ya msururu wa magari yaliyokwama baada ya ajali hiyo kuziba barabara ya Iringa-NjombeMsururu wa magari yaliyokwama baada ya ajali hiyo kuziba barabara ya Iringa-NjombeSehemu ya Lori lililopata...
View ArticleMAMIA WASHIRIKI MAZISHI YA MKE WA JAJI ANTONY BAHATI
Mwalimu Laurentia Bahati enzi za uhai wake.Kitabu cha kumbukumbu.Waombolezaji wakiweka saini katika kitabu cha kumbukumbu.Waombolezaji wakiweka saini katika kitabu cha kumbukumbu.Baadhi ya wanafunzi...
View Article