Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAFANIKIWA KWA ASILIMIA 98.

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mh. Hawa Ghasia akiwaeleza waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mafanikio ya uchaguzi wa Serikali za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAGUZI WA MIGODI WAPIGWA MSASA

Baadhi ya Wakaguzi wa Madini kutoka mikoa mbalimbali nchini, wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha Wakaguzi wa Migodi kuandaa miongozo (checklist) ili itakayosaidia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO WA HIFADHI NA KUELEZEA MAONO YA TAIFA

Wageni mbalimbali wanaoshiriki mkutano mkubwa wa kimataifa wa hifadhi ya jamii ulioandaliwa na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha ulioanza leo katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAANDISHI WA HABARI WATEMBELEA MIRADI YA UZALISHAJI MALI YA JESHI LA MAGEREZA...

Mkuu wa Magereza Mkoani Arusha, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, Hamis Nkubas akifanya mahojiano maalum Ofsini kwake  na Waandishi wa Habari kutoka Vyombo vya Habari vya Habari Leo, Daily...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAINALI YA AIRTEL UNI255 UDSM INTER-COLLEGE CHAMPIONS LEAGUE YAHIMITISHWA

Wachezaji wa timu ya Chuo cha Sayansi za Jamii, wakijifua kwa mazoezi kabla ya mchezo wao dhidi ya timu ya Chuo cha Uhandisi na Teknolojia katika fainali ya mashindano ya vitivo mbalimbali vya Chuo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VAN DER PRUIJM: NIMEKUJA KUENDELEZA PALE NILIPOISHIA

Kocha Van Der Pruijm akiwa na Shaffih Dauda mara tu baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa mwalimu NyerereKocha wa zamani wa Yanga mdachi Hans Van Der Pruijm amesema amerudi tena kwenye timu yake ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAZINDUA OFA KABAMBE YA SIMU WAKATI WA MSIMU WA SIKUKUU

Meneja Masoko wa Bidhaa za Kisasa wa Airtel, Prisca Tembo (kushoto) na Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde wakionyesha kwa waandishi wa habari, vipeperushi vya ofa kabambe ya simu kwa msimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DR SHEIN AONGOZA MKUTANO WA 8 WA BARAZA LA BIASHARA ZBC

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko  Nassor  Ahmed   Mazrui wakati alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAGERA KUJIVUNIA UWANJA WA NDEGE WA KISASA

Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakiwasili kwenye Kiwanja cha Ndege cha Kagera kujionea maendeleo ya Mradi wa Upanuzi wa Kiwanja hicho. Waliotangulia mbele...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARABARA DAR KUENDELEA KUIMARISHWA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Saidi Mecki Sadiki akifungua mkutano wa Wajumbe wa Baodi ya Barabara ya Mkoa wea Dar es salaam leo. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa Bi.Theresia Mmbando na Naibu Waziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE: WALIOVURUGA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAADHIBIWE, UKAWA BADO NI...

NA BASHIR NKOROMOCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetaka watendaji wote waliosababisha kuharibika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika baadhi ya maeneo nchini wachukuliwe hatua kali.Kimesema, watendaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI MSIBA WA MAMA MWAIBALE

  Kulia ni Kulwa na kushoto ni Dotto Mwaibale wakiwa na sura za Majonzi wakati wa Ibada fupi ya Kumuombea Mama yao Mpendwa kabla ya kuanza Safari ya kwenda MbeyaWa kwanza Kulia ni Mdogo wao wa Mwisho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAWAKILISHI WA MABARAZA YA WAZEE WA KIMILA WAKIMASAI WAKUTANA NA KINANA

 Wazee wa Kimasai wamuhakikishia Kinana uaminifu wao kwa CCMWataka wafugaji wamilikishwe ardhiWaitaka serikali kuboresha maisha ya wafugajiWataka wazawa wapewe kipaumbele zaidiWatoa salaam kwa Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA:Aliekuwa mneguaji wa musiziki wa Bendi Aisha Madinda Afariki Dunia Leo

“Aisha Madinda” amefariki leo hii na mwili wake umeifadhiwa kwenye hospitali ya mwananyamala, jijini Dar-es-salaam.Aisha madinda ambae jina lake halisi ni Aisha Mbegu alizaliwa mwaka 1980 katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EALA ASSEMBLY REMOVES RT HON DR. ZZIWA FROM OFFICE

Hon Frederic Ngenzebuhoro presents the report of the Committee on Legal, Rules and privileges to an attentive HouseHon Hafsa Mossi makes her contribution on the Motion this afternoonHon Mukasa Mbidde...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WAKONGWE WAPANIA KUFANYA KUFURU KATIKA UZINDUZI WA KAONE SANAA GROUP...

Mastaa waliokuwa wakiunda kundi la zamani la Kaole wakiongea na wanahabari (hawapo pichani) jinsi walivyopania kufanya kweli kwenye uzinduzi wa kundi lao jipya la Kaone, Boxing Day ndani ya Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA AKARIBISHWA JIJINI WETTEREN UBELIGIJI

Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akilisikiliza maelezo kuhusu zawadi aliyokabidhiwa kama ishara ya kumkaribisha jijini Wetteren Ubeligiji. Anayetoa maelezo ni Mhe. Live De...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA MH. WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA DUBAI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Kaimu Mkurugenzi  Mtendaji wa Bodi ya Utalii nchini, Devota Mdachi (kushoto) na Mwenyekiti wa Kampuni ya Nakheel PSSC ya Dubai, Bw, Ali Lootan wakizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI MARMO AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAISI WA AUSTRIA

Balozi wa Tanzania nchini Austria ambaye ana makazi mjini Berlin, Ujerumani Mhe. Philip S. Marmo; mapema mwezi huu alikabidhi Hati za Utambulisho (Letter of Credence) kwa Mhe. Dkt. Heinz Fischer, Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YASAINI AZIMIO LA ARUSHA LINALOHUSU KINGA YA JAMII.

Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akisaini Azimio la Arusha kwa niaba ya Serikali ya Tanzania ambalo lilipitishwa wakati wa kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu Kinga ya Jamii lililoanza Disemba...

View Article
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live