Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 6824

SHIRIKA LA NYUMBA MKOA WA MARA LAKABIDHI MASHINE ZA TOFALI

$
0
0
Wawakilishi wa NHC mkoa wa Mara wakiwa kwenye banda la maonyesho kwenye viwanja wilayani Bunda.(Picha zote za Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa)
 Meneja wa Mkoa wa Mara Frank Mambo akimpatia maelezo ya mradi  kiongozi wa mbio za mwenge Bi. Rachel  Kassanda.
Kiongozi wa Mbio za mwenge akipokea mashine hizo kabla ya kuzikabidhi kwa wakilishi wa vikundi vya vijana. Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe.
 Wawakilishi wa vikundi vya vijana wakipokea mashine hizo toka kwa kiongozi wa mbio za mwenge.
 Wawakilishi wa vikundi vya vijana wakipokea mashine hizo toka kwa kiongozi wa mbio za mwenge.

Wawakilishi wa vikundi vya vijana wakipokea mashine hizo toka kwa kiongozi wa mbio za mwenge.

 Wawakilishi wa vikundi vya vijana wakipokea mashine hizo toka kwa kiongozi wa mbio za mwenge.
Picha ya pamoja na wakilishi wa vikundi vya vijana. Katikati Meneja Mkoa, kulia nyuma ni Bw. Deogratius Bituro afisa matengenezo, kushoto ni Khalid Sobo-Driver, Bertha Maganira-PS na mwisho ni Marwa Mwita-Estate Officer incharge.    

Viewing all articles
Browse latest Browse all 6824

Trending Articles